Michael Jordan, LeBron James, Kobe Bryant. |
Veterani wa mpira wa kikapu duniani Michael Jordan, amefunguka
na kusema kwamba mchezaji ambaye anamuhofia katika mchezo huo kati ya LeBron
James na Kobe Bryant, alisema ni Kobe ndiye anayeweza kumsumbua kakini siyo
LeBron.
MJ, aliendelea kwa kusema kuwa hajaona kama Kobe, kwa sababu
ndiye mchezaji anayefuata nyayo zake. MJ
, alipigwa swali kuusi mchezaji gani ni mkali kati ya Kobe na LeBron, akajibu
kuwa “"In terms of
dominance in the game of basketball at this stage, it's LeBron.” Lakini hilo jibu lilikuwa la kawaida
ukilinganisha na upande waliojibu kwa Kobe, alimsifia kwa kusema kuwa “Championshipwise, it's Kobe." Ni wazi
kabisa kuwa MJ anampenda sana Kobe.
0 maoni:
Post a Comment