Kupitia
mtandao wa Bongo5, wameandika kuwa baada ya Rita Paulsen a.k.a Madam Rita wa
Bongo Star Search na Walter Chilambo kujibu wimbo wa Nay wa Mitego, Salamu Zao,
ilikuwa imebaki zamu ya Mbunge wsa Kigoma, Zitto Kabwe, kujibu wimbo huo.
Kwa
mujibu wa Mbuge huyp alisema kuwa Nay ni msanii wa pili wa Hip Hop,
anayemkubali sana baada ya Roma, pia aliendelea kusema kuwa anakiheshimu kile
alichokisema katika wimbo wake kwani ni kazi ya sanaa, haya ndiyo maneno yake
kupitia tweeter. “ Ney amefanya sanaa. Nachukua maneno
yake kama chagamoto. Ni kazi ya sanaa ninayoithamin sana.” Hayo yalikuwa
majibu ya Zitto kupitia kurasa yake ya tweeter.
0 maoni:
Post a Comment