MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

FACEBOOK, YAJIPATIA MKWANJA ZAIDI



 Facebook yapata faida asilimia 60 zaidi, yaingiza dola bilioni 2.02 katika robo 3 ya mwaka
Mtandao wa kijamii wa Facebook, umeingiza faida ya dola bilioni 2.02, kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka, nusu ya faida hiyo inatokana na matangazo yatokanayo na simu.

Mwazilishi wa mtandao huo, Mark Zuckerberg,  alifunguka na kusema kuwa mafanikio makubwa waliyoyapata kwenye robo hii yanaonesha kuwa tulijiandaa kwa hawamu nyengine ya kampuni yetu.

Share za kampuni hiyo zimepanda bei maradufu tangu kutangaza kuongezeka kwa mapato kwenye matangazo ya simu za mkononi, watumiaji milioni 874 wa FACEBOOK, zaidi ya watu bilioni 1 duniani kote utumia simu za mkononi, lakini utumiaji wa FB, umepungua kwa kasi katika nchi ya Marekani na Canada.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment