MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

HUDDAH MONROE: PREZZO NI MBWA KOKO TU, MWANAUME HELA HAUNA.


Huddah Monroe amtukana Prezzo, amuita mbwa koko,
PREZZO NA MPENZI MPYA

 Rapper wa nchini Kenya Prezzo, amemmwaga Huddah Monroe, na sasa yupo na mtanzania mwengine aishie nje ya nchi, Starlisha Tillya A.K.A Chaga Barbie.

Huddah, amefunguka na kumuita Prezzo, Mbwa Koko, Mwanaume mzima hela hauna” hayo yalikuwa maneno ya Huddah mara baada ya kuwa X kwa Prezzo.

Wakati huddah akitoa maneno makali mpenzi mpya wa Prezzo naye amefunguka na kusema kuwa “ Funny how sme past dnt wanna be tense….welcome to my future  @ chaggabaebie#My size # GodlslnControl # unrulyPrestar # Rapcellency”

 Huddah alimpakia matusi na kumwambia Prezzo kuwa hana lolote na kuendelea kwa kusema kuwa “ un future gain wewe ? mwanaume mzima hela hauna , mbwa koko. Hayo ni maneno yam dada huyo kwa Prezzo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment