MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MASHOGA WA MAREKANI WAMJIA JUU EMINEM


EMINEM

 Rapper wa nchini Marekani , Eminem, amefunguka mara baada ya watu kumsema vibaya kufuatia mstari wa nyimbo yake ya “Rap God” iliyowakandia Mashoga au watu wanaofanya mapenzi ya Jinsia moja nchini humo.

Jambo hillo limetokea zikiwa zimebaki saa chache za kutoa Albamu yake mpya, jana alifunguka na kukanusha tuhuma hizo, kupitia Interview aliyofanya hapo jana na Rolling Stone ‘ inapofikia hatua ya kuchana mistari huwa silinganishi mistari ninayoimba na kile kinachochukuliwa, bali ni rap tu ambayo naifanya.

Aliendelea kwa kusema kuwa hayo yalikuwa ni maneno tu, pia hajawai kulinganisha na kile watu wanachokiisi katika hali ya kawaida, zaidi ilikuwa kama kumuita mtu B##ch au a##hole, hayo ni maneno tu.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment