MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

BEYONCE, NDIYE ALIYETAZAMWA ZAIDI MTANDAONI KWA MWAKA HUU, JE UNAMJUA WA 2-10, BOFYA HAPA.



 
Msanii wa muziki nchini Mrekani Beyonce, ndiye msanii wa kwanza katika watu waliotafutwa sana mtandaoni yani ni Online Searcher Engine, taarifa hiyo imetolewa na Bing ya nchini Marekani.

Kwa mwaka jana nafasi hiyo ilishikwa na Kim Kardashian lakini kwa mwaka huu imeshikwa na Beyonce, na wapili kwenda kwa Kim.

Katika nafasi tano za juu kwa wasanii waliotazamwa sana mtandaoni inakwenda hivi 1. Beyonce, 2.Kim K, 3.Rihanna, 4.Taylor Swift na tano bora ilishikwa na Madonna. Wakati msanii walishika nafasi ya pili kwa mwaka jana Justin Bierber this time ametupwa mpaka nafasi ya 6. na nafasi ya mwisho yani ya kumi bora imekamatwa na Rais wa Marekani Barack Obama.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment