Tanzania imechezea kichapo cha Bao moja dhidi ya Kenya katika mchezo wa nusu fainali, Goli hilo limetokana na Kipa wa Starz , Ivo Mapunda , kuutema Mpira na kumkuta mchezaji wa Kenya na kuifanya Timu yake kuongoza mchezo huo.
Tanzania itakutana na Zambia katika kuwania mshoindi
wa Tatu, wakati Kenya na itakutana na Sudan, katika mchezo wa Fainali.
0 maoni:
Post a Comment