MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

ARSENAL KUMSAJILI DRAXLER KWA PAUNDI MILIONI 37.



 Arsenal kumsajili Draxler paundi milioni 37
Arsenal wanajiandaa kufika bei ya Julian Draxler, mwenye umri wa miaka 20, ambaye ametambulishwa kama mlengwa mkuu kwa Gunners katika usajili wa
dirisha dogo baada ya kupita huku na kule kusaka vipaji.

Arsenal wanaamini kuwa Draxler baada ya kusajili katika klabu hiyo ataweza kuzipa pengo la Van Persie na Thierry Henry ambao waliwasili klabu hiyo kama mawinga, lakini baadaye wakawa washambuliaji hatari
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment