Klabu ya Arsenal imeingia mkataba mnono na kampuni ya
PUMA, katika kuwapatia vifaa vya michezo kuanzia julai 2014.
Pamoja na hayo hakuna kiwango cha fedha cha udhamini
huo kilichothibitishwa Jumatatu (Jan27), ingawa dili hilo
linatajwa kama kubwa zaidi katika historia ya
uhusiani wa Puma na Arsenal.
0 maoni:
Post a Comment