MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAARIFA YA MAZISHI YA MPIGA TUMBA WA TWANGA PEPETA " MCD"



 mcdd

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa  kiongozi wa Twanga Luiza Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa yafanyike leo saa 10 jioni, lakini familia imekubali kusogeza mbele ili wafanyakazi wenzake pamoja na marafiki wa marehemu waweze kuwahi mazishi hayo ya aliyekua mpiga tumba wa Twanga pepeta Mcd.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment