Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa kiongozi wa
Twanga Luiza Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa yafanyike leo saa 10 jioni, lakini familia imekubali
kusogeza mbele ili wafanyakazi wenzake pamoja na marafiki wa marehemu waweze
kuwahi mazishi hayo ya aliyekua mpiga tumba wa Twanga pepeta Mcd.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment