MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

ARSENAL YATOSWA NA KLABU YA SCHALKE NUEFIER



 Uongozi wa Schalke Nuefier wakanusha taarifa za kupokea ofa mpya kwa kaArsenal
Uongozi wa klabu ya Schalke Nuefier umekanusha taarifa za kupokea ofa kutoka kwenye klabu ay Arsenal ya nchini Uingereza ambayo inasdaiwa kuwa mbioni kuhitaji uhuduma ya kiungo Julian Draxler.


Meneja wa klabu ya Schalke 04, Horst Held amesema hakuna ukweli wowote juu ya suala hilo,licha ya kuripotiwa katika vyombo vya habari nchini Uingereza tangu hapo jana.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment