Ni muda wa Miezi 8, tokea kifo cha msanii wa muziki
nchini Mangwea, kutokea, kutokana na usimamizi wa Nyimbo zake kuwa mzuri sasa
inaachiwa wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Alma, unatarajiwa kutoka
tarehe 14/02/2014, ikiwa imeambatana na siku ya wapendanao............
Msimamizi
wa Nyimbo za Mangwea, Bwana Muro, alifanyiwa
mahojiano na Times fm, necky utaachiwa rasmi siku ya Valentine na kwamba anaendelea kuwasiliana na
familia yake kuhusu mapato ya wimbo huo ambayo atapewa mama yake Ngwair.
“Yeye alitaka kuitoa ngoma hiyo siku ya Valentine
mwaka jana, kwa hiyo na mimi nimeamua kuitoa siku hiyo hiyo. Niliongea na
Familia Morogoro, na ntawapigia tena ili tuangalie tunachofanya kwa sababu kuna
vitu vingi vya kuconsider, kuna mambo ya ringtones na nini na nataka nizungumze pia na
makampuni ya simu. Kwa sababu kila alichotakiwa apate yeye (Ngwair) inabidi
apate mama yake.” Muro ameiambia tovuti ya Times Fm., alifunguka na kusema kuwa
wimbo huo uliorekodiwa ndani ya AM
Records chini ya producer
Ma
0 maoni:
Post a Comment