Msanii wa R & B, Ben Pol, ameachia wimbomwake mpya
wa “ UNANICHORA” katika wimbo huo
kuna sauti ya Joh Makini, msanii huyo ameiyachia single hiyo sambamba na Album
yake mpya iliyobeba nyimbo 20. na kuuzwa
mtandaoni..........
Ben P, amesema kuwa nyimbo zake zote ziko katika
mitando mbalimbali duniani, ameitaja kuwa ni iTunes, Amazon, Spotify, Shazam,
Beatsmusic, Xbox music na Google Play. Hiyo ni baadhi ya mitandao ambayo
unaweza kununua nyimbo zake kwa kiasi cha dollar 9.99.
Pia kwa wale ambao wanazani kuwa kutumia mtandao ni
shida kwao ameamua kufanya mambo kuwa poa zaidi kwa adau wa Tz, kutumia
mitandao ya simu katika kulipia nyimbo hizo.
0 maoni:
Post a Comment