Msanii wa Bongo fleva nchini ambaye kwa muda mrefu
hakuwa hewani kwa sababu moja mbili hivi, kwasasa ameamua kuja tena, Ray C,
alifunguka kupitia akaunt yake ya Instagram, kwa kusema aliwa-miss mashabiki
mwake sambamba na jukwa......
“Likizo ya mwaka mzima alhamdullilah !!! Mungu ni
mwema sana !!! Asante kwa afya
Baba Yangu !!! muda si mrefu ntarudi kazini na uhakika mashabiki wangu wapenzi
mmni-miss sana
!! kila kitu tayari kimeshapikwa bado tu kuwaambia lini tu but niombeeni heri wapenzi
wangu najua sana
mmeni-miss sauti ya Ray C, all over the world !!!! jinsi mlivyoniombea zadadi kama kumi hivi nimewaandalia !!! mtashauaje sasa !! kama nawaona vile !!!!!! Bila nyie hakuna Ray C !!!!!
Thank you so very much guys !!!! My Fans! My eeverything nawapenda mno!!!!”
Hayo ndiyo maneno ya msanii huyo kwa mashabiki wake.
0 maoni:
Post a Comment