Msanii wa muziki nchini Tanzania D Knob, yuko mbioni
kuachia kideo chake kipya, ambacho wimbo wake ulirekodiwa mwaka 2011, na sasa
amefanya masahiisho ya baadhi ya mistari katika wimbo huo ambao very soooooon,
utakuwa kideoni. Hebu tumia dakika zako chache kutazama baadhi ya Picha za
Utengenezwaji wa Video hiyo mpya....PICHA ZAIDI ,BOFYA HAPA.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment