Wafanyabiashara wa Mwanza nao wameungana na wenzao wa
Dar es salaam, kwa kugomea mashine za TRA, na kuamua kufunga maduka yao na kusitisha huduma
kwa muda usiojulikana.
Watu wengi wamekosa huduma kutoka katika maduka hayo,
hali inayopelekea Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla kuzorota.
Baadhi ya watu wameitaka selikari kuchukua hatua
mapema juu ya swala hili eidha kuongea na wafanyabiashara au kusitisha zoezi la
mashine kwanza.
0 maoni:
Post a Comment