Mwana Hip Hop, wa kundi la Weusi, Joh Makini,
anatarajia kudondosha bonge la Collabo na msanii kutoka nchini Kenya, Jaguar,
hayo yamesemwa na Nikki wa Pili, alipofanyiwa mahojiano na Timesfm, wakati
wakiwa njiani wakitokea nchini Kenya........
“Jaguar na Joh mpaka beat imeshatengenezwa sema jamaa
ana mambo yake mengi kwa hiyo hata kama kama wanataka kufanya pale lakini
watakuja kuingizia sauti huku Tanzania
lakini jamaa hana tatizo. Amesema Nikki wa Pili.
0 maoni:
Post a Comment