MSANII WA MUZIKI NCHINI MAREKANI AZIMIA JUKWAANI. CHEKI TUKIO ZIMA HAPA.
Msanii wa muziki wa R&B Nchini Marekani August Alsina, alijikuta akidondoka mbele ya mashabiki wake wakati akitumbuiza jukwaani mara baada ya tukio hili alikimbizwa Hospitalini kwenye chumba cha ................
wagonjwa maututi. Taarifa kutoka kwa meneja wake zinasema kuwa msanii huyo amelazwa wodi ya wagonjwa maututi jijini New York, tukio hilo lilitokea hapo jana wakati akitumbuiza jukwaani. Pia madaktari wamesema kuwa msanii huyo hakukutwa na dawa za kulevya katika mwili wake bali kilichopelekea kuzimia ni kukosa maji kwa muda mrefu na kuchoka sana.
0 maoni:
Post a Comment