MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

KIKOSI CHA REAL MADRID, KIMECHEZEA KICHAPO KIKALI HAPO JANA.......



 Real Madrid yapoteza dira ya kuurejesha ubingwa wa La Liga
 Wakali wa soka Duniani, Real Madrid, imechezea kichapo cha mabao mawili kwa moja katika mchezo uliochezwa hapo jana usiku,.................


Real Madrid ambao walikua wanapewa nafasi kubwa ya kurejesha ubingwa wa ligi ya nchini Hispania mbao kwa sasa unashikiliwa na FC Barcelona, walijikuta wakipoteza mchezo huo, baada ya kuzidiwa maarifa na wenyeji wao ambao walipata mabao ya ushindi kupitia kwa Carlos Bacca alifunga katika dakika ya 19 na 72

Kwa upande wa kikosi cha Real Madrid, kilipata Bao la kufutia machozi la Real Madrid lilifungwa na Cristiano Ronaldo katika dakika ya 14 ya mchezo huo.

Jana hiyo hiyo vijana wa  Atletico Madrid ambao pia usiku wa kuamkia hii leo walikua uwanjani, wameendelea kukaa kileleni kufuatia ushindi wa bao moja kwa bila lililofungwa na mshambuliaji Diego Costa katika mchezo uliowakutanisha na Granada CF.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment