Msanii wa Muziki, Rapper 2Chainz, anatarajiwa
kufikishwa mahakamani kufuatia tukio la kukutwa na Madawa ya Kulevya, chanzo
cha taarifa kinaseama kuwa msanii huyo alikutwa na Codeine, ambazo utumiwa
kutengenezea Sizzup, june mwaka jana.............
Mbali na dawa hizo lakini alikutwa na aina nyengine za
madawa ya kulevya, kwa kesi hiyo, mtuhumiwa anaweza kutumikia kifungo cha miaka
hadi mitatu[3] jela.
0 maoni:
Post a Comment