Mmoja kati ya walioshriki katika Big Brother Africa,
Fezza Kessi, anatarajia kudondosha wimbo wake mpya hivi karibuni ambao
umefanywa na Nahreel, wimbo huo unakwenda kwa jina la “MY PAPA”...............
Kuna baadhi ya watu ambao tayari wamepata nafasi ya
kuusikiliza wimbo huo nah ii ni tweet yake “ And Finally it is”
0 maoni:
Post a Comment