Kuna wasanii wengi sana hapa TZ, lakini Diamond ni
msanii wa kipekee kabisa, kutokana na uwezo wake wa kufanya mambo makubwa kwa
mashabiki wake na kuwafanya kupiga mayowe mwanzo mwisho.............
Jana msanii huyo aliwashtusha mashabiki wake kufuatia
ile show ya dada yake Queen Darlin, ya uzinduzi wa Video yake katika Club
Bilicanas.
Punde si punde mashabiki walibaki mdomo wazi na
shangwe za kufa mtu mara baada ya Diamond Platnumz, kutoke kwenye jukwaa
kumsapoti dada yake., picha za tukio zima ziko hapa
0 maoni:
Post a Comment