Kikosi cha timu ya Taifa ya Watoto wa mitaani Tanzania, imeibuka na ushindi na kutwaa ubingwa wa Dunia baada ya kuichapa timu ya Burundi bao 3-1, huko
Brazil katika fainali za kombe hilo la dunia..........
Katika fainali hizo mgeni rasmi alikua waziri wa Fedha
wa Uingereza, George Osborn, Tanzania
iliweza kupata nafasi hiyo baada ya kuicha timu ya Marekani Bao 6-1.
Kikosi cha timu ya Tanzania kitashuka nyumbani TZ
katika uwanja wa ndege Wa kimataifa wa jijini Dar es salaam,[JNIA] siku ya
alhamisi.
0 maoni:
Post a Comment