MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA BET AWARDS, DIAMOND, AZIDI KUPEPEA KIMATAIFA.



 BET DIAMOND PLATNUMZ 2014 2
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, azidi kutanua mbawa zake katika level za kimataifa, sasa ameingia katika Tuzo Za BET, ................
kwenye Kipengele cha “ Best International Act: Africa” ambapo atakuwa anachuana na Davido wa Nigeria, Mafikizolo [Afrika kusini], Sarkodie wa Ghana nk.

Tuzo hizo zitzfanyika June 29 mwaka huu nchini Marekani, Los Angeles.
 BET DIAMOND PLATNUMZ 2014
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment