MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

RICK ROSS, ATISHIWA MAISHA NA WATU 100.


Mweraamazing, ndio mpango mzimaaaaaaaaa
Rick Ross atishiwa maisha na watu 100 waliomuwekea kizuizi njiani
Boss wa MMG, Rick Ross ametishiwa maisha na watu zaidi ya 100 waliomuwekea kizuizi njiani wakati akielekea kwenye tamasha la Summer Jamz lililoandaliwa na kituo cha radio cha HOT 107.5 huko Detroit..........


Umati wa mashabiki waliokuwa wanamsubiri kwa hamu Rozay kupanda jukwaani walishitushwa na taarifa zilizotangazwa na Jay Hicks ambaye ni muongozaji wa vipindi wa kituo hicho kuwa Rick Ross amehofia maisha yake na ameshindwa kufika ingawa yuko karibu na tamasha hilo.
"via Times"
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment