MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

GOOGLE, WAANZISHA KIKOSI CHA KUPAMBANA NA WEZI WA MTANDAO.



 Google waanzisha timu maalum ya kupambana na wezi wa njia ya mtandao na
Kampuni ya Google imetangaza  kuwa wametengeneza timu yenye utaalamu wa hali ya juu wa kufanya utafiti na kupambana na uharamia wa kutumia  mtandao.............


Kitu wanachotaka kukifanya ni kuakikisha kuwa mtandao unakuwa sehemu salama zaidi kwa watumiaji duniani.

“Hatuweki mipaka yoyote kwenye huu mradi na tutafanya kazi yak u-improve ulinzi wa software yoyote ambayo inategemewa na idadi kubwa ya watu, na kutakuwa makini zaidi kwenye mbinu na targeti za washambuliaji.” Kutoka Google .
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment