Msanii
wa Muziki wa Bongo Fleva Nchini Tanzania Diamond Platnumz, anazidi kuupeleka
mziki wa Bongo kwenye Level za Juu zaidi kufuatia Tuzo zake mbali mbali za
ndani na nje ya nchi, pia kufanya collabo nyingi na wasanii wengi wan je ya
nchi na ndani.................
Kupitia
ukurasa wake wa Instagram, amefunguka na kutoa shukrani kwa mashabiki wake na
wadau wote kwa kuufanya wimbo wa my number 1, rmx kuchukua Tuzo ya wimbo bora
East Afrika.
0 maoni:
Post a Comment