Msanii
wa muziki nchini Tanzania Diamond Platnumz, anazidi kuitangaza Tanzania mara
baada ya kutajwa tena kuwania tuzo za
MTVEMA 2014.............
Pia
kundi la muziki nchini Kenya la Sauti Sol limetajwa kuwania tuzo hizo kupitia
kipengele cha Best African Act, hapo awali yalitajwa majina manne tu ambayo ni
Diamond platnumz, Davido, Goldfish na Toofan.
0 maoni:
Post a Comment