MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NICK MINAJ, AMETOSWA KUTEMBELEA SHULE ALIYOSOMA



Msanii wa Muziki nchini Marekan, Nick Minaj amepata nafasi nyingine ya kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule moja huko mjini New York mara baada ya kutoswa katika shule aliyosoma wiki iliyopita...............


Msanii huyo alizungumza na uwongozi wa shule ya Fiorello H. LaGuardia High School ili aweze kuitembelea na kuzungumza na wanafunzi lakini alijikuta akitoswa na mkuu wa shule hiyo, kutokana na uongozi huo kumtosa bidada Nick Minaj, alifunguka na kusema “I wanted to go back to my HS and speak to the students but the new principal declined. No need for me to inspire them, I guess. Smh [shake my head]”.

Hakuishia hapo, aliendelea kwa kusema kuwa “ that school changed my life and I wanted to pay it forward to the students there now. I was really looking forward to it”.

Mkuu wa shule hiyo alisema kuwa uongozi wa shule hiyo ulifutilia mbali ziara hiyo ya Nick, kwa kuwa alitaka kwenda shuleni hapo na crew yake ya kushoot, kitu ambacho ni kinyume na sera za mji wa New York.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment