Kundi
la Muziki la Nchini Nigeria, P Square, wanatarajia kudondosha Ngoma Mpya wakiwa
na mkali wa Bundelele, Awilo Longomba, kupitia moja ya mtandao mmoja kundi Hilo
liliandika kuwa................
“ Will let y’all knw what we are celebrating soon……just wait
for it. Cos it’s a big one# P –CLASSIC”.
Ata
Hivyo Kundi hilo limeshatoa Cova ya Albam yao mpya ambayo inatarajiwa
kudondoshwa Hivi karibu, ndani ya Albam hiyo kuna wasanii wengi wa kimataifa
ndani ya Afrika na Nje ya Afrika. na hii ndio albam ya mpya "
Bouble
Trouble
Bouble
Trouble
0 maoni:
Post a Comment