MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

AMBER ROSE AMMWAGA WIZ KHALIFA!!!



amber 2
Stori kubwa katika Mitandao mikubwa Duniani ni kuvunjika kwa Ndoa ya  Amber Rose na Wiz Khalifa ni baada ya Amber kutaja chanzo mojawapo cha kuvunjika kwa uhusiano huo...................


Kwenye interview ya Radio Amber amesema kingine kilichomkasirisha ni kuona Wiz anawaendekeza warembo flani wawili mapacha ambao inaaminika amekua akijihusisha nao kimapenzi.
 amber 3

Amber amesema alipenda kuiokoa ndoa yake ili waendelee kuwa pamoja lakini anaeonekana kukataa kuendelea kuwa kwenye ndoa ni Wiz mwenyewe, Amber anasema hata taarifa za mwanzoni kwamba walitengana siku nyingi kabla ya kutaka talaka zilikua za uongo…. hakufanya maamuzi yao sababu alitaka kuiokoa ndoa yake.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment