Msanii
wa Hip Hop nchini Marekani, Kanye West, ameamua kuhama moja kwa moja nchini
Marekani Na kwenda Paris, yeye na Mwanae North, ingawaje mzazi mwanzie Kim
Kardashian, amegoma kwenda huko Paris.................
Wawili
hao wamekuwa kwenye mavutano makubwa, mtandao wa Radar online, umetoa Taarifa kuwa kabla ya sherehe ya siku
ya Kuzaliwa ya Kim, iliyofanyika huko Tao NightClub, Las Vegas.
“kanye
alimwambia Kim kwa upole kuwa anapanga kuhamia Paris, na amepanga kufanya hivyo
bila yeye[KIM]. Ilikuwa kama ngumi nzinto nyuma ya kichwa.
0 maoni:
Post a Comment