MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

T.I.D, SINA BIFU NA DULLY SYKES, SASA NI KAZI TU.

Wasanii wa Muziki nchini, T.I.D na DULLY SYKES, wamevunja Bifu yao na kuamua kufanya ngoma ya Pamoja, na ngoma hiyo inakwenda kwa jina la Money Girl, kupitia kipindi cha XXL – Clouds Fm, Mnyama T.I.D, Alifunguka na kusema............


“hakuna sababu ya kuendelea kulumbana kwani wana kazi kubwa ya kufanya Muziki  kwaajili ya Msahabiki wao”
“Unajua mimi na Duly hatukukutana katika ngoma ndio maana tumeamua kufanya hiyo”

Aliendelea kwa kusema kuwa Dully unajua yuko na studio nzuri sana sasa hivi, so dully the first naamini anafanya nyimbo nyingoi za Bongo Fleva, Idea ya wimbo ni yangu chochote lazima inproduce, nilimtumia chorus Fulani hivi, ili yeye aweze kutengeneza Beat.

Alifunguka mambo mengi sana na program zao nyingi, kikubwa ni wawili hao wameamua kumaliza tofauti zao na kuamua kufanya kazi.

Hiki ni kitu kizuri kwa wasanii wa muzikmi wa Tanzania kufanya hivyo, kwani Bifu hazipeleki mziki mbele bali nyuma.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment