MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

BIFU NENE DAVIDO NA DIAMOND PLATNUMZ, MY NUMBER 1 RMX, YAMTOA DAVIDO CLUB,

Kuna taarifa kutoka nchini Uganda kuwa Davido, aliondoka kwenye moja ya Club kubwa nchini Uganda mara baada ya DJ kupiga wimbo wa My Number RMX. Tukio hilo linaunganishwa na Bifu ya chini chini kati ya Diamond Platnumz na Davido.............


Mtandao wa Bongo5, ulichonga na mdogo wake Chameleone, Pallaso, ambaye walikuwa wote kwenye club wakipata bata zao, na haya ndio maneno ya Pallaso  

“ I don’t know, I missed that party, we were already partying and I was not really attention so I don’t know” hayo yalikuwa maneno ya Pallaso kufuatia mahojiano aliyofanyiwa na Bong5.


Aliendelea kwa kusema kuwa         “I heard some stories but you know there is a lot of gossip going on in Kampala so you could never know what to trust and what not to trust, but I did not really see that part.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment