Diamond Platnumz, ametangazwa kuwania tuzo za 16,
za Vodafone Ghana Music Awards,VGMA, 2015..............
Wasanii
watakao wania katika kinyang’anyiro hicho ni pamoja na Tiwa Savage, Don Jazzy
na The Mavin Group sambamba na Yemi Alade.
Majina
ya wasanii hao yalitangazwa hapo jana latika Hoteli ya La Palm Royal Beach,
jijini Accra, na mshindi atapatika kwa kupigiwa kura 4% kutoka kwa wananchi , 30% kutoka kwa
Academy na zingine 30 kutoka kwa board.
0 maoni:
Post a Comment