MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

AFUENI KWA WANAFUNZI WA KENYA
Shule za umma nchini Kenya zimefungua hii leo baada ya wiki tatu
 za mgomo wa walimu.
Walimu hao hatimaye waliweza kuafikia makubaliano na serikali kuhusu
 matakwa yao ya nyongeza ya mishahara.
Serikali ilitishia kuwafuta kazi walimu hao Ijumaa wiki jana wakati walipokataa pendekezo la asilimia 4 ya mishahara ambalo serikali ilitoa.
Lakini makubaliano hatimaye yaliafikiwa mwishoni mwa wiki ya nyongeza ya asilimia arobaini.
Sasa mwalimu atakayepokea mshahara mdogo zaidi kuliko wote atalipwa dola 140 huku mwenye kulipwa mshahara mkubwa akipata dola 1,700 .
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment