Makamu wa rais nchini Sierra Leone
amejiweka kwenye karantini baada ya mmoja wa walinzi wake kuaga dunia kutokana
na ugonjwa wa ebola.............
Bwana
Samwel Sam-Sumana alisema kwamba hataweza kukaribiana na yeyote kwa muda wa
siku 21.
Wakati
huo huo utawala umerejesha tena vikwazo kufuatia kuongezeka kwa visa vya
ugonjwa wa ebola.
Hatua
hizo ni pamoja na ukaguzi wa kiafya wa mara kwa mara na kupunguzwa kwa idadi ya
watu kwenye magari ya usafiri
kutoka BBC
0 maoni:
Post a Comment