Ripoti hiyo imetayarishwa na jopo maalum
lililoundwa kutokana na ghadhabu ya umma baada ya polisi kulaumiwa kwa kuwapiga
risasi kiholela raia wasio Wazungu.
Jopo hilo limesema polisi waliwalenga
watu weusi na jamii ya Latino na hutumia nguvu kupita kiasi kukabiliana nao.
Ripoti hii imependekeza mageuzi 100.
Asilimia 74 ya mamia ya watu waliouawa
na maafisa wa polisi walikuwa raia weusi, licha ya kwamba idadi ya watu weusi
ni asilimia 33 pekee.
chanzo BBC Swahili.
0 maoni:
Post a Comment