MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

POLISI WA CHICAGO NI WABAGUZI, UCHUNGUZI WABAINI

Maandamano
Polisi katika mji wa Chicago nchini Marekani wamejawa na ubaguzi wa rangi, imesema ripoti mpya rasmi.
Ripoti hiyo imetayarishwa na jopo maalum lililoundwa kutokana na ghadhabu ya umma baada ya polisi kulaumiwa kwa kuwapiga risasi kiholela raia wasio Wazungu.
Jopo hilo limesema polisi waliwalenga watu weusi na jamii ya Latino na hutumia nguvu kupita kiasi kukabiliana nao.
Ripoti hii imependekeza mageuzi 100.

Asilimia 74 ya mamia ya watu waliouawa na maafisa wa polisi walikuwa raia weusi, licha ya kwamba idadi ya watu weusi ni asilimia 33 pekee.
chanzo BBC Swahili.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment