MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TRUMP ATANGAZA SERA ZAKE ZA NJE



 Trump
Donald Trump anayewania kuteuliwa na chama chake Republican kuwania Urais nchini Marekani ametangaza sera zake za nje.

Trump ametoa hotuba yake ya kwanza inayohusu sera za mambo ya nje na kugusia maeneo mbalimbali ikiwemi mapambano dhidi ya ugaidi na mpango wa nyuklia wa Iran.
    RIPOTI: USHINDI WA TRUMP NI HATARI KWA DUNIA
Amezungumzia pia kuhusiana na mahusiano ya nchi hiyo na Israel, Urusi na China.

Katika hotuba yake hiyo pia ameishambulia vikali sera hiyo chini ya utawala wa Rais Barack Obama.

kutoka BBC Swahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment