MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TANZANIA NI NCHI YA PILI AFRIKA AMBAYO UCHUMI WAKE UNAKUA KWA KASI – IMF

kig11
Kwa ukuaji wa asilimia 6.9, Tanzania ipo chini ya Ivory Coast yenye asimilia 8.5. Tanzania itaendelea kufanya vizuri kutokana na kuongezeka kwa uwekezaji hasa kwenye mafuta na gesi pamoja na maboresho ya miundombinu na kuifanya kuwa sehemu muhimu ya usafirishaji Afrika.
Hii ni orodha rasmi:

1 Cote D’Ivoire 8.5%
2 Tanzania 6.9%
3 Senegal 6.6%
4 Djibouti 6.5%
5 Rwanda 6.3%
6 Kenya 6.0%
7 Mozambique 6.0%
8 Central African Republic 5.7%
9 Sierra Leone 5.3%
10 Uganda 5.3%

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment