MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Joey Barton aadhibiwa kwa kucheza kamari

Barton atarejea katika klabu hiyo baada ya kufungiwa kwa wiki tatu
Kiungo wa klabu ya Rangers ya Scotland Joey Barton anakabiliwa na adhabu kwa kucheza kamari kinyume na sheria za soka nchini humo.
Barton anatuhumiwa na chama cha soka nchini Scotland kwa kuweka dau mara 44 kati ya Julai 1 na Septemba 15 mwaka huu.
Barton atarejea katika klabu hiyo baada ya kufungiwa kwa wiki tatu kutokana na utovu wa nidhamu.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment