MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Janet Jackson, 50, ajifungua mtoto mvulana Eissa Al Mana

Janet Jackson and Wissam Al ManaImage copyrightGETTY IMAGES
Image captionMwanamuziki Janet Jackson na mumewe, Wissam al-Mana
Mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani Janet Jackson amejifungua mtoto wa kiume akiwa na umri wa miaka 50, afisa wake wa mawasiliano amethibitisha.
Taarifa imesema mwanamuziki huyo na mumewe Wissam Al Mana, ambaye ni mfanyabiashara kutoka Qatar, wana furaha kumpata mtoto wa kiume kwa jina Eissa Al Mana.
"Janet alijifungua bila matatizo yoyote na kwa sasa anapumzika," afisa wake amesema.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment