MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Barcelona yatinga fainali kombe la mfalme

timu
Image captionBarcelona wakishangilia ushindi
Timu ya soka ya Barcelona imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya kombe la mfalme au copa De rey nchini Hispania kufuatia sare ya kufungana goli 1-1 na Atletico Madridi.
Goli la Barcelona limefungwa na Luiz Suarez huku lile la Atletico Madrid likifungwa na Kevin Gameiro.
Kwa matokeo hayo Barcelona wanasonga mbele kwa faida ya magoli matatu dhidi ya mawili ya Atletico Madrid na hivyo wakitaraji kukutana kati ya Alaves or Celta Vigo katika mchezo wa Fainali.
Katika mchezo huo mchezaji Luiz suarez alitolewa kwa kadi nyekudu baada ya kuwa na kadi mbili za njano .
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment