MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

EU: Donald Trump ni tishio kwa Ulaya


 Rais wa muungano wa Ulaya Donald Tusk
Rais wa Baraza la muungano wa Ulaya Donald Tusk ameonya kwamba maamuzi ya kutia wasiwasi yanayofanywa na Donad Trump ni miongoni mwa chanagmoto zinazokumba muungano huo.

Amesema kuwa mabadiliko yaliofanyika nchini Marekani ni miongoni mwa vitisho kutoka nje vinavyojumuisha China, Urusi na Waislamu wenye itikadi kali kwa muungano huo.

Katika barua kwa viongozi 27 wa bara Ulaya bw Tusk pia amesema kuwa anaamini kwamba wote wanakubaliana naye.

Taarifa kadhaa kutoka Washington zimesababisha maandamano dhidi ya Trump katika miji mikuu ya Ulaya.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment