MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Will Smith amkata mtoto wake nywele

 Staa wa filamu nchini Marekani, Will Smith hataki mchezo kabisa na kazi. Ameamua kumkata mtoto wake nywele ili tu afanye movie inavyotakiwa.

 Will Smith amefanya uamuzi huo wa kumkata mtoto wake rasta Jaden Smith ambaye pia ni staa wa filamu Hollywood.
 
 Jaden anajipanga kuigiza filamu ya ‘Life In A Year’ na ili kwenda sawa na uhusika wake alibidi akate nywele. Baada ya Will kuona kuwa dogo analeta ubishi aliamua kuzifyeka mwenyewe.

Muonekano mpya wa Jaden
Filamu ya Life In A Year ina kisa cha uhusiano wa kimapenzi kati ya Jaden na Cara Delevingne. Jaden anagundua mpenzi wake ana mwaka mmoja tu wa kuishi na anafanya analoweza kuhakikisha wanaishi kwa furaha na kufanya yote walioota kufanya. Filamu hiyo itaanza kutayarishwa Toronto, Canada.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment