MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

CHADEMA NAFASI YA URAISI UTATA MTUPU 2015

Diwani wa kata ya Segerea kupitia tiketi ya chadema, ametangaza
kuwania Uraisi ifikapo mwaka 2015,
Diwani huyo ametangaza azma yake ikiwa ni siku chache tangu
kiongozi mwengine wa chama hicho Zito Kabwe nae pia kutangaza
nia ya kuwania Uraisi na vyombo vya Habari leo jijini  Dar es salaam
Diwani huyo amesema lengo lake ni kusimamia rasilimali za Taifa
ziwanufaishe wananchi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment