KENYA KUKIPUTA CECAFA
Shirikisho la mchezo wa soka nchini Kenya, Football Kenya Federation (FKF) limethibitisha kuwa timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars itashiriki katika michuano ya kuwania kombe la mataifa bingwa kanda ya Afrika Mashariki na Kati-CECAFA ambayo imepangiwa kuanza tarehe ishirini na nne mwezi ujao hadi Desemba tarehe nane.
Uwanja huo umekuwa kambi ya askari wa AMISOM tangu Agosti mwaka jana.
Kabla ya hapo ukitumiwa na wapiganaji wa Al-Shabab na mapambano makali yamewahi
kutokea kwenye eneo la uwanja huo.

0 maoni:
Post a Comment