MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

KENYA KUKIPUTA CECAFA

                                             
Shirikisho la mchezo wa soka nchini Kenya, Football Kenya Federation (FKF) limethibitisha kuwa timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars itashiriki katika michuano ya kuwania kombe la mataifa bingwa kanda ya Afrika Mashariki na Kati-CECAFA ambayo imepangiwa kuanza tarehe ishirini na nne mwezi ujao hadi Desemba tarehe nane.

Uwanja huo umekuwa kambi ya askari wa AMISOM tangu Agosti mwaka jana.

Kabla ya hapo ukitumiwa na wapiganaji wa Al-Shabab na mapambano makali yamewahi
kutokea kwenye eneo la uwanja huo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment