MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DRC IMEWATAKA UN KUWASHITAKI RWANDA


Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuichukulia hatua Rwanda, kwa madai ya kusaidia waasi nchini Congo badala ya kumfuatilia mtu mmoja kama vile kanali Sultani Makenga.
Waziri wa habari wa serikali ya Congo amesema hayo siku moja baada ya Umoja wa Mataifa na Marekani kutangaza vikwazo dhidi ya kiongozi wa waasi wa M23, Jenerali Makenga, vikiwemo vya usafiri na kukamata mali yake.
Serikali ya Marekani pia imewazua Wamarekani kujihusisha kwa namna yoyote na Sultan Makenga, ambaye alikuwa afisa wa ngazi ya cheo cha Jenerali katika jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment