MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAIFA STARS YAWACHAPA WAKENYA



Timu ya soka ya Tanzania taifa staz imewatoa kimasomaso mashabiki wake
Baada ya kuifunga timu ya taifa ya Kenya , Harambe staz kwa mabao 1-0 katika
Mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa leo katika kiwanja cha CCM KIRUMBA
Mjini mwanza ,
Bao pekee la stars lilipachikwa kimiayani kwa kichwa na beki  kisiki wa stars Agrey morris
Dakika ya 7 ya mchezo akiunganisha pasi ya salum abubakar[sure boy] ambaye naye alipokea
Mpira wa kona uliyopigwa na Amir Maftaha .
Timu ya Kenya ikiongozwa na nahodha wake dennis oriech, walijaribu mara kadhaa kutaka
Kusawazisha bao hilo, lakini ngome ya stars ikiwa chini ya mlinda mlango na nahodha wake , 

juma kaseja , ilikuwa kikwazo kwa washambuliaji wa Harambee Stars   
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment