MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

POLISI KUJENGEWA NYUMBA OYSTABAY


Nyumba 350 za polisi zinatarajiwa kujengwa eneo la oystabay ili kupunguza
Tatizo la uhaba wa makazi wa watumishi hao ,
Hayo yamesemwa leo na msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi  Isack Nannga
Wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mr4adi huo unaotarajiwa kuanza
Mwaka kesho, akisema  ujenzi huo utaenda sambamba na majengo makubwa ya kibiashara
Amesema mradi huo umekabidhiwa kwa kampuni ya mara group ya Uganda ambayo itakuwa
Ikisimamia mradi huo na kulipa kodi kwa serikali zaidi ya shilingi bilioni kwa mwaka .
Mrdi huo unatarajiwa kugharimu zaidi ya bilioni 400 hadi kukamilika kwake.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment